Pages

Ads 468x60px

Wednesday, March 25, 2015

RISASI ZARINDIMA DAR ES SALAAM - TENA, MAJAMBAZI WAWILI KUTOKA ITALI WAKIONA CHA MOTO - TUKIO KATIKA PICHA









 
Habari zinasema kuwa polisi mkoani dar es salaam jana mchana walifanikiwa kuwatia mbaroni majambazi wawili ambao inasemekana ni raia wa italia baada ya kupora kiasi cha dola elfu kumi kwa mwananchi ndipo polisi walipoanza mapambano nao na hadi kuwatia nguvuni baada ya luwadhibiti na risasi. PICHA ZOTE KWA MSAADA WA http://jijiletublog.blogspot.com/


0 comments:

Post a Comment