Habari zinasema kuwa polisi mkoani dar es salaam jana mchana 
walifanikiwa kuwatia mbaroni majambazi wawili ambao inasemekana ni raia 
wa italia baada ya kupora kiasi cha dola elfu kumi kwa mwananchi ndipo 
polisi walipoanza mapambano nao na hadi kuwatia nguvuni baada ya 
luwadhibiti na risasi. PICHA ZOTE KWA MSAADA WA 
http://jijiletublog.blogspot.com/
 
 
0 comments:
Post a Comment