Pages

Ads 468x60px

Friday, March 20, 2015

Shule za kata zisidharauliwe.



Wito huo umetolewa na meya wa jiji la Mbeya Atanas kapunga alipokua akizindua chemba ya maji taka katika shule ya Sekondali ya Rejiko jijini hapa.
Athanasi kapunga meya wa jiji la Mbeya akiongea na watu pamoja na wanafunzi walioudhulia uzinduzi wa chemba ya maji taka katika shule ya Sekondali ya Rejiko jijini hapa.
 


 Kikundi cha sanaa cha ngoma ya asili ya kingoni kikitumbuiza katika uzinduzi wa chemba hiyo





Baadhi ya wakazi wa kata ya majengo na wanafunzi wa shule ya sekondali majengo waliofika kushuhudia kuzinduliwa kwa chemba ya maji taka.
 Wenyeviti wa mitaa miwili ya kata ya majengo wakisalimia wananchi waliofika katika sherehe hizo
      Eng: Simion shauri Mkurugenzi mtendaji wa malaka ya maji safi na maji taka jijini Mbeya
 Joshua mwakitalima mkuu wa Shule ya Sekondali ya Rejiko akisoma historia fupi ya shule mbele a mgeni Rasmi
                              Eng: midelya paul akisoma risala ya mamlaka kwa mgeni rasmi
Jaji Atuganile Ngwala mwenyekiti wa bodi ya maji akimkaribisha mgeni rasmi kuzindua chemba ya maji taka na kuhutubia wananchi;

 Athanas kapunga meya wa jiji la Mbeya akikata utepe ishara ya kuzindua chemba ya maji taka shuleni hapo


0 comments:

Post a Comment