Kama
sehemuyakuadhimishaSikuyaKupingaUkeketajiDuniani, TGNP MtandaokwaushirikianonaShirika
la WatuDuniani (UNFPA),wanaharakati, JamiiyaKipunguni, Dar es salaam
imefanyamajadilianoyaliyowashirikishawananchiwaeneohilo,
viongoziwaserikalizamitaa,
Mwakilishi wa Mkurugenzi wa TGNP Grace Kisetu (Aliyesimama), akisisitiza jambo wakati wa ufunguzi |
Katikaufunguzi,
MwakilishiwaMkurugenziMtendajiwa TGNPMtandao Bi. Grace Kisetu ameelezakuwalengo
la kuadhimishasikuhiyonikuiletajamiipamojakatikakujadilihaliilivyo,
kutambuachangamotonakutafutanjianzurizakukabilinanatatizo la ukeketaji.
“Takwimuzamwaka 2010
zinaoneshakuwa, takribaniasilimia 15 yawanawake Tanzania wamekeketajihivyomnawezakuonabado
tuna kazikubwakwanivitendohivyovinaendelea”Ameeongeza Bi. Kisetu
Aidhaameelezakuwapamojana
Tanzania
kuridhiamikatabambalimbaliyakikandanakimataifainayomlindamwanamkepamojanakutungaSheriaNamba
16 yaKanunizaAdhabuambayoinatoaadhabuyakifungo cha miakamitatuhadikuminatano,
badovitendovyaukeketajivinaendeleanchini.
Alitaja mikoa inayoongoza katika ukeketaji ikiwa ni pamoja na
Manyara,(71%), Dodoma, (64%), Arusha,
(59%), Singida,(51%) Mara (40%), Morogoro, (21%) na Tanga ( 20%).
Akiwasilisha shughuli zinazofanywa na Kikundi cha Sauti ya Wananchi
Kipunguni katika
kupambana na ukeketaji katika kata hiyo, Mwenyekiti wa kikundi
hicho Seleman Bishagazi amesema, kitendo hicho kimekuwa kikifanyika kwa siri
kubwa. Amesisitiza kuwa baadhi ya familia za makabila yanayofanya ukeketaji
katika eneo hilo huwafanyia ukeketaji watoto wao punde tu wanapozaliwa hivyo
kuongeza changamoto zaidi.
Kwa upande wake Diwani wa Kata ya Kipunguni Mohamed Msofe ameahidi kutafuta
ofisi kwaajili ya kikundi hicho ili kiweze kufanya shughuli za harakati kwa
ufanisi zaidi hasa katika kuleta maendeleo.
”Nawaomba viongozi wa dini, waalimu na wanaharakati kuendelea kushirikiana
katika kutoa elimu na nawahimiza Sauti ya Wananchi Kipunguni kutoa elimu kuhusu
ukeketaji kwa njia ya sanaa katika mikutano ya wananchi”
Mkuu wa Dawati la Jinsia kutoka kituo cha polisi Lydia Mrema amewataka
wananchi kushirikiana na jeshi la polisi kwa kutoa taarifa na ushahidi ili haki
iweze kutendeka. ”ushahidi ndio unaomtia mtu hatiani, lakini changamoto ni kuwa
ushahidi unakuwa hafifu kwani wahusika huwa wanafamilia” Alisisitiza Lydia
Akitoaneno la
kufungamjadalahuo, Mwakilishiwa UNFPA nchini Mary
Nsemwaemesemakuwawanawakekatiyamilioni 100-140
wamekeketwadunianihukuukatilihuoukifanyikakatikanchi 28.
Alielezakuwaukeketajiniukiukwajiwahakizabinadamunakusisitizakuwapamojanautoajiwaelimu,
watuwanaohusikalazimawafikishwekwenyevyombohusika.
“tunawapongezakwakazinzurinatutaendeleakuungamkonojuhudizakupambananaukeketaji”.
Alisisitiza Mary
Mwakilishi mwingine wa UNFPA Tausi Hassan alisema
Sehemu ya wananchi zaidi ya arobaini walioshiriki katika wa mjadala huo.
|
Tukio hilo linakuja siku mbili kabla ya siku rasmi ya maadhimisho hayo
ambayo hufanyika tarehe 6 Februari kila mwaka. Siku hiyo inayoratibiwa na Umoja
wa Mataifa kwa kushirikiana na wadau mbalimbali, huwaleta pamoja wadau katika
kujadili masuala ya kisera, kisheria na kiutendaji katika kukabiliana na
ukeketaji.
0 comments:
Post a Comment